DUU KWELI PESA NDIO SABUNI YA ROHO..!! MTAZAME OMMY DIMPOZ AKIWA AMEVAA VIATU VYA THAMANI KUBWA MNOO..

Huyu ndiye Ommy dimpoz a.k.a Poz kwa Poz, Siku chache zilizopicha Ommy alikuwa Nchini Uingereza akimsindikiza Rafiki yake Diamond Plat kwaajili ya kufanya Video yake na Iyanya. Kama ilivyo anda ya kamera Yetu kunasa matukio, Kamera imenasa miguuni mwa Ommy akiwa amevalia Viatu mithili kama vimetengenezwa na Dhahabu,.
Na hii inatokana na mambo kuanza kumuendea Supa Ommy kwa kukamata Madili ya Pesa nyingi, kupelekea kumiliki Vitu vya Gharama zaidi. Kweli sasa tunaanza kuona Mafanikio ya Bongo Fleva!!
TOA MAONI YAKO HAPO CHINI
BOFYA “LIKE” HAPO CHINI KUPATA HABARI ZETU..!!

0 comments: