RAY AWASHUKIA WOTE WANAOINGILIA MAPENZI YAO,ASEMA MBONA WAO NI WAZINZI HASEMI????!!!

Msanii  wa  filau, Vicent  Kigosi  "Ray"   amesema  kuwa  anashindwa  kuelewa  ni  kwa  nini  baadhi  ya  wanawake  wamekuwa  wakishabikia  mahusiano  yake  wakati  yeye  hana  habari  nao  wala  hajawahi  kufuatilia  mambo  yao....

Alisema  kuwa  kutokana  na  hilo  sasa  anaamua  kufanya  mambo  yake  kimya kimyan  kwani  baadhi  ya  wasanii  wa  kike  wamekuwa  na  tabia  ya  kuingilia  mapenzi  yake  kwa  lengo  la  kuyaharibu.....

"Kwa  nini  mimi  ninapokuwa  na  mpenzi  wangu  baadhi  ya  wasanii  wa  kike  wamekuwa  wakishabikia  sana, hapo  nashindwa  kuelewa.

"Nipo  na  Chuchu  Hans, lakini  wanapiga  kelele  hadi  inakuwa  kero.Mbona  wao  wanafanya  uzinzi  na  hakuna  anayewasema?"...Alihoji  Ray
TOA MAONI YAKO HAPO CHINI
BOFYA “LIKE” HAPO CHINI KUPATA HABARI ZETU..!!

0 comments: