PICHA YA DIVA WA CLOUDS NA BOB JUNIOR YAZUA UTATA MTANDAONI...ITAZAME PICHA HIYO APA



Picha hii kaiweka Diva katika Ukurasa wake na Kumtag Bob Junior Msanii wa Bongo fleva Nchini Tanzania. Je Hii inaashiria ni Penzi Jipya ama ni kazi tu...?
Diva anatarajia Kuachia Ngoma yake mpya siku ya Leo lakini hakuweka wazi ni Msanii gani kamshirikisha Hivyo kaa mkao wa Kula Kwa ujio Mpya wa Mtangazaji huyo na Kujua kinagaa ubaga Kuhusiana na Hii picha...
TOA MAONI YAKO HAPO CHINI
BOFYA “LIKE” HAPO CHINI KUPATA HABARI ZETU..!!

0 comments: