PICHA ZA MITEGO ZA SHILOLE NA SERENGETI BOY WAKE ZAZUA MANENO NA COMENT NYINGI MTANDAONI...JIONEE WADAU WALICHO COMMENT

  Mwanadada Shilole ambaye ni  Muigizaji, mwanamziki, socialite, nk...Anashutumiwa kuwa rekodi ya kuwa na mahusiano ya kimapenzi na vijana ambao inasemekana amewazidi UMRI...Hivi karibuni kupitia mtandao wa INSTAGRAM, mwanadada huyu amekuwa akipost picha zenye utata..zikiashilia yuko kwenyemahusiano na kijana mmoja (jina lake halikufahamika)...Sasa hizo picha ndio hasa chimbuko la wadau kuanza ku-comment- positively na negatively.....!!!

TOA MAONI YAKO HAPO CHINI
BOFYA “LIKE” HAPO CHINI KUPATA HABARI ZETU..!!

0 comments: