+18 KINGUO CHA RIHANNA NI SHIDAA..!!JIONEE HAPA KILIVYOKOSA MAADILI...




Rihanna amewahi kuacha gumzo mara nyingi kutokana na picha zake zinazosambaa mtandaoni. Mara nyingine tena picha za Rihanna ndio zinakuwa picha zinazoangaliwa sana hivi sasa kwenye mtandao.
Picha hizi amepiga akiwa kwenye red carpet ya CFDA Fashion Awards huko New York.
TOA MAONI YAKO HAPO CHINI
BOFYA “LIKE” HAPO CHINI KUPATA HABARI ZETU..!!

0 comments: