TABIA YA WAREMBO KUONYESHA MATITI SASA IMEKUWA KEROO..!! KAMUONYESHE MUMEO HUKOOO ALAHAAA ..JIONEE HAPA
Hivi haka kamtindo ka kuacha maziwa watu wayachungulie mnavyofanya wakina dada mna maana gani?
Yaani utakuta mtu hadi wa ofisini matiti kayaacha nje au wengine wamevaa nguo zenye V yaani maziwa kila mtu anayaona.
Halafu myebana mpaka mnatupa majaribu kufanya kazi na nyie.
Acheni bwana matiti yako kamuonyeshe mumeo huko alaaaaaah
crexit:swahilitz
0 comments: