KWA STAILI HII, BATULI ANAELEKEA KUVUNJA HESHIMA YAKE KWA MOVIE ZA KIJINGA. STORI NA PICHA HAPA


 
BONGO movie artist maarufu kama Batuli sasa aja na kali ya mwaka, kali hii imewashangaza wengi sana hapa nchini kwani ni msanii ambaye alikuwa akiheshimika sana ila kwa hili nadhani anategemea kujivunjia heshima 
juzi alifanya interview na moja ya media na akafunguka kuwa yupo tayari kuigiza movie hata za nusu utup*u haya sasa ajali ndio hiyo  wadau wa swahiliTz
TOA MAONI YAKO HAPO CHINI
BOFYA “LIKE” HAPO CHINI KUPATA HABARI ZETU..!!

0 comments: