Just A Kiss....!! Tazama Jinsi Mkude Simba Anachofanyiwa Na Penny..

Hehehehe mimi sina chakuongeza hapo.....Ila kaka yetu  (MKUDE SIMBA) kama hakuwa COMFORTABLE hivi.....Hawa madada wa mjina NOUMA SANA...siunakumbuka ile ya DIVA

Hii sasa ni ya PENNY ( yeah yuleyule aliekuwa wa Diamond P)
Ila tuache utani huu Mkisi una ma hisia hadi macho kufumbaaa.....Hii nawaachia mmalize wenyewe!!!
KISHA KAANDIKA
TOA MAONI YAKO HAPO CHINI
BOFYA “LIKE” HAPO CHINI KUPATA HABARI ZETU..!!

0 comments: